• Search
  • Pages: 476

    Year: 2020

    Category: East Africa, History

    Dimensions: 229 x 152mm

    ISBN:
    Shipping class: POD

    Historia ya Kiziba na Wafalme Wake

    Tafsiri ya Amakuru Ga Kiziba na Abamkama Bamu

    Historia ya Kiziba na Wafalme Wake: Tafsiri ya Amakuru Ga Kiziba na Abakama Bamu
    ni mchango mkubwa kwa fasihi ya kihistoria ya wenyeji wa Afrika ya
    Mashariki na Tanzania. Utafiti wa Mfalme Mutahangarwa wa Kiziba
    (aliyetawala 1903–1916) katika mwanzo wa karne ya ishirini ulikusanya
    mabingwa wa simulizi za mdomo kutoka katika koo za kifalme na zisizo za
    kifalme na shuhuda zao ziliandikwa na watu waliokwisha kujua kusoma na
    kuandika, akiwemo F.X. Lwamgira. Miongo mine baadaye matokeo ya utafiti
    huo yalipigwachapa kikatokea kitabu chenye kurasa 490 katika lugha ya
    Kihaya ambach kilibaki bila kujulikana ingawa kilikuwa kitabu muhimu.
    Tafsiri hii muhimu itafanya historia ya Kaskazini Magharibi mwa Tanzania
    na Kusini Magharibi mwa Uganda kabla na mwanzoni mwa ukoloni iwafikie
    kwa mara ya kwanza wasomi wengi.

    £50.00

    About the editors

    Galasius B. Kamanzi

    Translator Galasius B. Kamanzi is a long-term student of Kiziba history and Haya
    folklore. He is a former teacher and civil servant with a B.A. in
    Education, majoring in Economics and Linguistics, from the University of
    Dar es Salaam. He also obtained a post-graduate diploma in General
    Management from Mzumbe University. He is a co-author of Folktales from
    Buhaya

    Peter R. Schmidt

    Peter R. Schmidt is Professor Emeritus of Anthropology at the University
    of Florida and Extraordinary Professor of Anthropology and Archaeology
    at the University of Pretoria, South Africa. He is author or editor of
    fifteen books on African history, oral traditions, heritage, and
    archaeology–many with a focus on the Haya.

    Related books

    The History of Kiziba and Its Kings

    £50.00

    Grasp the Shield Firmly the Journey is Hard

    £57.00

    Peter DM Bwimbo: Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere

    £27.00

    Mikidadi wa Mafia

    £32.00