ISBN 9789976102475
Pages 51
Dimensions 203mm x 131mm
Published 2010
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Adili na Nduguze

by Shaaban Robert

“Ingawa kitabu hiki hutaja habari za malaika na majini, na viumbe wa ajabu, lakini ni kwa sababu ya utunzi tu. Mambo hasa yaliyotiliwa mkazo ndani yake ni ardhi na mimea yake; machimbo na hazina zake; mifugo na mazao yake; biashara na faida yake; safari na manufaa yake; utajiri na umaskini na ndugu na matendo yao. Mambo haya huwahusu watu wengi kama si dunia nzima.”

- SHAABAN ROBERT

“Maudhui mazito yaliyobebwa na hadithi hii ya kusisimua yamekifanya kitabu iki kitumike tena na tena katika kufundisha Fasihi ya Kiswahili katika ngazi ya Elimu ya Sekondari.” 

- MHARIRI

First published in 1980, this new edition tells of angels and devils and other extraordinary creatures. It is a vehicle of invention for issues in the book which are about land and its plants, mining and its value, livestock and agriculture, commerce, travel, richness and poverty, the rich and their wealth and relations between siblings. A moving characterisation of people in different pursuits of wealth and welfare.

Book Preview
Paperback
£19.80

About the Author

Shaaban Robert

Shaaban Robert is to the Swahili language what Shakespeare was to English. Acclaimed as the national poet, his publications have always been the touchstone of beauty of language, purity of spirit, and deep wisdom informed by African and Swahili culture in particular, but imbued with respect for and understanding of other cultures. Most prominent of his work is Kusadikika (To be believed), an allegorical work of an imaginary country or state in which injustices are perpetrated against all notions of justice, law and humanity. Published at the height of colonial occupation in Tanzania.

Shaaban Robert kwa lugha ya Kiswahili ni sawa na Shakespeare kwa lugha ya Kiingereza. Akikubalika kama msahiri wa taifa, vitabu vyake daima vimekuwa kipimo cha juu cha uhondo wa lugha, usafi wa nia na hekima kutokana na utamaduni hususan wa Kiafrika na Waswahili lakini pia kwa jnsi alivyoelewa na kusheshimu tamadui nyingine. Katika vitabu vyake Kusadikika ndicho maarufu kushinda vyote. Hii ni hadithi ya kiistara juu ya nchi ambako dhulma inatawala kinyume na haki, sheria na utu. Kitabu kilichapishwa wakati ukoloni umetanda nchini Tanzania.

Related Books