ISBN 9789987753727
Pages 184
Dimensions 198 x 129 mm
Published 2022
Publisher Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Format Paperback

Sinaye Baba

by Mfaume Hamis Mfaume

Sinaye Baba ni diwani yenye mashairi ya kimapokeo yaliyobeba sauti ya kilio cha kundi la watu walio- kosa malezi kutoka kwa wazazi. Sauti hizo zilizojaa jitimai, zinaonesha ni kwa namna gani kukosa malezi kunavyoweza kuathiri jamii kwa kuifanya ipotoke zaidi. Hivyo diwani hii inamfungua macho msomaji, ili aweze kuona ni kwa namna gani malezi ni jukumu la jamii nzima. Diwani hii haijaacha kitu kwani imebeba masuala mbalimbali katika jamii, burudani, siasa na uchumi.

Book Preview
Paperback
£19.80