African Books Collective
My Bag0
Join Newsletter
  • Books
  • Ebooks
  • Catalogues
  • About
  • FAQs
  • Contact

Author

Christopher Bundala Budebah

Christopher Bundala Budebah alizaliwa mwaka 1956 huko Maswa, Simiyu. Ni mhitimu wa M.A Kiswahili, Stashahada ya Uzamili ya Ualimu, Shahada ya Kwanza ya Sanaa za Maonyesho na Cheti cha Sanaa za Maonyesho.

Mbali na tuzo ya Mabati, mwandishi aliwahi pia kushinda tuzo ya uandishi wa kazi za fashi kwenye shindano la Jubilei ya miaka 75 ya TUKI.

  • Kifaurongo
    Kifaurongo
    by Christopher Bundala Budebah
    Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Home | Contact | How to order | FAQs | Sign up | Facebook | Twitter | © 2023 African Books Collective