African Books Collective
My Bag0
Join Newsletter
  • Books
  • Ebooks
  • Catalogues
  • About
  • FAQs
  • Contact

Author

Ally Yusufu Mugenzi

Ally Yusufu Mugenzi kwa jina jingine Ally Kayamba alijiunga na Chuo cha Uandishi wa Habari Tanzania mwaka 1978. Alipohitimu mwaka 1980, aliajiriwa na Shirika la Habari Tanzania - SHIHATA.  Mwaka 1983 aliacha kazi SHIHATA akajiunga  na  Idhaa ya Kiswahili ya Redio Rwanda.  Mwanzoni mwa mwaka 1994, aliacha  kazi Radio Rwanda  alipoajiriwa na Idhaa ya Kiswahili ya BBC-London. Akiwa BBC, alianzisha idhaa ya kukutanisha watu waliotenganishwa na mauaji ya kimbari ya Rwanda. Baadaye ilibadilika na kuwa Idhaa ya Maziwa Makuu. Mwaka 2005 aliteuliwa kuwa mhariri wa idhaa hiyo  ambako yuko mpaka sasa.

  • Vitimbi vya Mama wa Kambo
    Vitimbi vya Mama wa Kambo
    by Ally Yusufu Mugenzi
    Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Home | Contact | How to order | FAQs | Sign up | Facebook | Twitter | © 2023 African Books Collective