ISBN | 9789987686445 |
Pages | 94 |
Dimensions | 204mm x 145mm |
Published | 2002 |
Publisher | Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania |
Format | Paperback |
Diwani ya Mloka
by Charles Mloka
Diwani ya Mloka ni mkusanyiko wa mashairi yanayozungumzia masuala mbalimbali ya kijamii na yanayomwandaa msomaji katika misingi bora ya kimaisha; kuchochea hamasa na juhudi za kuendeleza Kiswahili; na kuhifadhi mashairi yanayoakisi migogoro mbalimbali ya kisiasa kijamii na kiuchumi iliyokuwepo wakati wa utawala wa chama kimoja nchini Tanzania. “Hatua hii ya Mloka ni ya kufaa kuigwa...”.
A collection of Swahili poems by Charles Mloka.
Book Preview