ISBN 9789966561572
Pages 162
Dimensions 178 x 127 mm
Published 1993
Publisher East African Educational Publishers, Kenya
Format Paperback

Pesa Zako Zinanuka

by Ben R. Mtobwa

Mwandishi mmoja mashuhuri hapa duniani aliwahi kuandika katika kitabu chake, ‘No Money Smells’, kwamba hakuna pesa zinazonuka. Lakini mwandishi wa riwaya hii anadai “zipo, na zanuka”. Ni pesa zipi hizi? Na vipi zinuke? Hii ni riwaya nzito ya kihistoria. Mwandishi anaivulia jamii miwani na kuitazama kwa makini bila uoga, huku akimulika unafiki na ukatili uliofichika katika mioyo ya wengi. Hata anakutana na huyu ambaye anaambiwa: “Umemuua mwanao ... Lazima umle ... ” Ni riwaya ambayo itakutoa machozi!

Book Preview
Paperback
£15.77
eBook
£15.02

About the Author

Ben R. Mtobwa

The late Ben Mtobwa was one of Tanzania’s most prolific and prominent novelists. He was one of the founders of the popular novel in Swahili and is best know for his series of adventure novel featuring the investigator Joram Kiango.