Diwani ya Mloka
  • £15.95

Diwani ya Mloka

Charles Mloka

Diwani ya Mloka ni mkusanyiko wa mashairi yanayozungumzia masuala mbalimbali ya kijamii na yanayomwandaa msomaji katika misingi bora ya kimaisha; kuchochea hamasa na juhudi za kuendeleza Kiswahili; na kuhifadhi mashairi yanayoakisi migogoro mbalimbali ya kisiasa kijamii na kiuchumi iliyokuwepo wakati wa utawala wa chama kimoja nchini Tanzania. “Hatua hii ya Mloka ni ya kufaa kuigwa...”.

A collection of Swahili poems by Charles Mloka.

ISBN 9789987686445 | 94 pages | 204mm x 145mm | 2002 | Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania | Paperback

Categories:
Language:
Document Actions