African Books Collective
My Bag0
Join Newsletter
  • Books
  • Ebooks
  • Catalogues
  • About
  • FAQs
  • Contact

Author

Mohammed Khelef Ghassani

Mohammed Khelef Ghassani alizaliwa mwaka 1977 visiwani Zanzibar na ni mwandishi wa diwani kadhaa za ushairi, zikiwemo Andamo: Msafiri Safarini, Siwachi Kusema: Uhuru U Kifungoni, Kalamu ya Mapinduzi: Mapambano Yanaendelea na N'na Kwetu: Sauti ya Mgeni Ugenini, ambayo ndiyo iliyompatia tuzo ya Fasihi ya Kiafrika kwa Lugha ya Kiswahili iliyotolewa na Mabati-Cornell mwaka 2015. Mbali na kuwa mshairi, Mohammed Ghassani ni mwandishi wa habari anayeishi na kufanya kazi zake nchini Ujerumani.

  • Machozi Yamenishiya
    Award
    Machozi Yamenishiya
    by Mohammed Khelef Ghassani
    Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
  • N’na Kwetu
    N’na Kwetu
    by Mohammed Khelef Ghassani
    Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Home | Contact | How to order | FAQs | Sign up | Facebook | Twitter | © 2023 African Books Collective